KUPATA UJAUZITO
Kila unachohitaji kufahamu kuhusu kutafuta na kupata ujauzito

Kunyonyesha Ukiwa Mjamzito
Je, ni Sawa Kuendelea Kunyonyesha Mtoto Wakati una Mimba Nyingine? Kunyonyesha kunasaidia kuzuia kupata ujauzito, lakini sio mara zote. Inategemea…
Makala Maarufu
Ninawezaje Kuongeza Nafasi ya Kupata Mtoto wa Kike au Kiume?
Changamoto za Kupata Ujauzito kwa Wanawake Wenye Umri Zaidi ya Miaka 35
Vitu vya Kufanya Katika Maisha Yako Kabla ya Kujaribu Kupata Ujauzito
Vipimo na Tafiti Muhimu Kufanya Kabla ya Kupata Ujauzito
Vidokezo 9 Kukusaidia Kupata Ujauzito kwa Haraka
Makala Nyinginezo

Kiungulia Wakati wa Ujauzito.
Kipindi cha ujauzito mabadiliko mbalimbali hutokea katika mwili wa mjamzito ili kuruhusu ukuaji na maendeleo ya mtoto aliye tumboni, mabadiliko…

Maambukizi Katika Mshono Baada ya Kujifungua kwa Upasuaji.
Ijapokuwa nafasi ya kupata maambukizi ni ndogo sana siku hizi kwasababu ya maendeleo katika sekta ya matibabu na dawa, zipo…

Kujifungua kwa Njia ya Kawaida Baada ya Kujifungua kwa Upasuaji (VBAC)
Ikiwa unajiuliza kama kujifungua kwa njia ya kawaida inawezekana baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji ujauzito uliopita, jibu ni…
Testimonials / Shuhuda
“Mwaka juzi nilikuwa nimekata tamaa kabisa ya kupata ujauzito, nilipoanza kutafuta msaada mtandaoni nilikutana na makala yenu inayohusu mzunguko na siku za kutungwa mimba, niliisoma kwa makini na kufuatilia ushauri wake, miezi sita baadae nilishika mimba bila hata kutegemea, Asanteni sana.”
Janet Mwangi,
Msomaji
“Kiuhalisia mmenisaidia sana, nilipambana wee na mimba zilikuwa zinatoka mara kwa mara, ila msaada wenu kwenye mambo ya kufanya kabla hata ya kushika ujauzito yalinisaidia, pia App ya AfyaTrack imenisaidia tangu nilipokuwa na ujauzito mpaka sasa mtoto wangu ana miezi mitatu bado naitumia ”
Winnifred J,
Mtumiaji
“Mambo mengi mliyoyaandika kwenye makala zenu ni ya msaada mkubwa sana, niliposoma nilimtumia rafiki yangu aliyekuwa anahangaika na maumivu kila wakati wa hedhi zake na alikuwa anaogopa sana kushika mimba, labda mnaweza mkaandika pia kuhusu maumivu kipindi cha hedhi na sababu zake na matibabu yake tafadhali ”
Mwanaisha_98,
Msomaji